19 Nachukua mbingu na dunia kuwa mashahidi juu yenu leo,+ kwamba nimeweka uzima na kifo mbele yako,+ baraka+ na laana;+ nawe lazima uchague uzima ili uendelee kuwa hai,+ wewe na uzao wako,+
28 Nikutanishie wanaume wote wazee wa makabila yenu na maofisa wenu,+ na acheni niseme masikioni mwao maneno haya, na acheni nichukue mbingu na dunia ziwe mashahidi dhidi yao.+