26 leo nachukua mbingu na dunia ili ziwe mashahidi dhidi yenu,+ ya kwamba hakika mtaangamia haraka kutoka katika nchi ambayo mnavuka Yordani ili mwimiliki. Hamtarefusha siku zenu juu yake, kwa sababu hakika mtaangamizwa.+
28 Nikutanishie wanaume wote wazee wa makabila yenu na maofisa wenu,+ na acheni niseme masikioni mwao maneno haya, na acheni nichukue mbingu na dunia ziwe mashahidi dhidi yao.+