Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 18:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Ndipo nchi haitawatapika ninyi kwa sababu ya kuitia kwenu unajisi kama vile itakavyoyatapika mataifa yaliyokuwa mbele yenu.+

  • Mambo ya Walawi 26:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Nami nitaifanya nchi iwe ukiwa,+ nao adui zenu wanaokaa ndani yake wataitazama kwa mshangao.+

  • Kumbukumbu la Torati 29:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Basi Yehova akawang’oa kutoka katika udongo wao kwa hasira+ na ghadhabu na ukali mwingi na kuwatupa katika nchi nyingine kama ilivyo kufikia leo hii.’+

  • Yoshua 23:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 kwa sababu ya kuvunja agano la Yehova Mungu wenu ambalo aliwaamuru ninyi, na kwa sababu mmeenda na kuitumikia miungu mingine na kuiinamia.+ Na hasira ya Yehova hakika itawaka juu yenu,+ nanyi hakika mtaangamia upesi kutoka katika hii nchi nzuri ambayo amewapa.”+

  • Isaya 24:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Tazama! Yehova anaifanya nchi kuwa tupu na kuifanya ukiwa,+ naye amepotoa uso wake+ na kuwatawanya wakaaji wake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki