Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:63
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 63 “Na itatukia kwamba kama vile Yehova alivyokuwa na furaha juu yenu ili kuwafanyia mema na kuwazidisha ninyi,+ ndivyo Yehova atakavyokuwa na furaha juu yenu ili kuwaharibu ninyi na kuwaangamiza ninyi;+ nanyi mtang’olewa kutoka katika nchi mnayoenda kuimiliki.+

  • Isaya 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nchi yenu ni ukiwa,+ majiji yenu yameteketezwa kwa moto;+ udongo wenu—mbele ya macho yenu wageni+ wanaula,+ na ukiwa huo ni kama maangamizi yaliyofanywa na wageni.+

  • Isaya 5:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na sasa, tafadhali, acheni niwajulishe ninyi kitu nitakacholifanyia shamba langu la mizabibu: Ukigo wake utaondolewa,+ nalo halitakosa kuteketezwa kwa moto.+ Ukuta wake wa mawe utabomolewa, nalo halitakosa kuwa mahali pa kukanyaga-kanyaga.+

  • Yeremia 4:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Inueni ishara kuelekea Sayuni. Andaeni mahali pa kukimbilia usalama. Msisimame tuli.” Kwa maana kuna msiba ambao ninaleta kutoka kaskazini,+ mshindo mkubwa.

  • Ezekieli 6:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Katika makao+ yenu yote majiji yataharibiwa+ na mahali pa juu patafanywa ukiwa, ili padumu katika uharibifu+ na madhabahu zenu zikae ukiwa na kuvunjwa+ nazo sanamu zenu za mavi zikomeshwe+ na vinara vyenu vya uvumba vikatwe+ na kazi zenu zifutiliwe mbali.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki