63 “Na itatukia kwamba kama vile Yehova alivyokuwa na furaha juu yenu ili kuwafanyia mema na kuwazidisha ninyi,+ ndivyo Yehova atakavyokuwa na furaha juu yenu ili kuwaharibu ninyi na kuwaangamiza ninyi;+ nanyi mtang’olewa kutoka katika nchi mnayoenda kuimiliki.+
7 Nchi yenu ni ukiwa,+ majiji yenu yameteketezwa kwa moto;+ udongo wenu—mbele ya macho yenu wageni+ wanaula,+ na ukiwa huo ni kama maangamizi yaliyofanywa na wageni.+
5 Na sasa, tafadhali, acheni niwajulishe ninyi kitu nitakacholifanyia shamba langu la mizabibu: Ukigo wake utaondolewa,+ nalo halitakosa kuteketezwa kwa moto.+ Ukuta wake wa mawe utabomolewa, nalo halitakosa kuwa mahali pa kukanyaga-kanyaga.+
6 Inueni ishara kuelekea Sayuni. Andaeni mahali pa kukimbilia usalama. Msisimame tuli.” Kwa maana kuna msiba ambao ninaleta kutoka kaskazini,+ mshindo mkubwa.
6 Katika makao+ yenu yote majiji yataharibiwa+ na mahali pa juu patafanywa ukiwa, ili padumu katika uharibifu+ na madhabahu zenu zikae ukiwa na kuvunjwa+ nazo sanamu zenu za mavi zikomeshwe+ na vinara vyenu vya uvumba vikatwe+ na kazi zenu zifutiliwe mbali.