Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 1:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ndipo Yehova akaniambia: “Msiba utafunguliwa kutoka kaskazini juu ya wakaaji wote wa nchi.+

  • Yeremia 6:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kimbilieni usalama, enyi wana wa Benyamini, kutoka katikati ya Yerusalemu; nanyi mpige baragumu+ katika Tekoa.+ Na mwinue ishara ya moto katika Beth-hakeremu;+ kwa sababu msiba umetazama chini kutoka upande wa kaskazini, mshindo mkubwa.+

  • Yeremia 21:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “‘“Na baada ya hayo,” asema Yehova, “Nitamtia Sedekia mfalme wa Yuda na watumishi wake na watu na wale wanaobaki katika jiji hili baada ya tauni ile, na upanga na njaa, katika mkono wa Nebukadreza mfalme wa Babiloni, katika mkono wa adui zao na katika mkono wa wale wanaoitafuta nafsi yao, na hakika yeye atawapiga kwa ukali wa upanga na kuwaua.+ Hatawasikitikia, wala kuwahurumia wala kuwa na rehema yoyote.”’+

  • Yeremia 25:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 tazama, ninatuma, nami nitazichukua familia zote za kaskazini,”+ asema Yehova, “nitatuma ujumbe kwa Nebukadreza mfalme wa Babiloni, mtumishi wangu,+ nami nitawaleta wao juu ya nchi hii+ na juu ya wakaaji wake na juu ya haya mataifa yote kuzunguka pande zote;+ nami nitawaangamiza na kuwafanya kuwa kitu cha kushangaza na kitu cha kupigiwa mluzi+ na ukiwa mpaka wakati usio na kipimo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki