15 “Tazama, ninaleta juu yenu taifa kutoka mbali,+ enyi nyumba ya Israeli,” asema Yehova. “Ni taifa linalodumu. Ni taifa la zamani za kale,+ taifa ambalo lugha yake hamwijui, nanyi hamwezi kusikia na kuelewa yale wanayosema.
24 Nami nitaingiza yaliyo mabaya kabisa kati ya mataifa,+ nayo hakika yatazimiliki nyumba zao,+ nami nitakikomesha kiburi cha wenye nguvu,+ na patakatifu pao patatiwa unajisi.+
14 Tazama! Mimi ninasimamisha taifa juu yenu,+ Ee nyumba ya Israeli,’ asema Yehova Mungu wa majeshi, ‘nao watawakandamiza ninyi kutoka maingilio ya Hamathi+ mpaka kwenye bonde la mto la Araba.’ ”