Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:49
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 “Yehova atainua juu yako taifa la mbali, kutoka mwisho wa dunia,+ kama vile tai anavyorukia windo,+ taifa ambalo lugha yake hutaielewa,+

  • Yeremia 1:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa maana ‘tazama, ninaziita familia zote za falme za kaskazini,’ asema Yehova;+ ‘nao hakika watakuja na kuweka kila mmoja kiti chake cha ufalme kwenye mwingilio wa malango ya Yerusalemu,+ na juu ya kuta zake zote kuzunguka pande zote na juu ya majiji yote ya Yuda.+

  • Yeremia 4:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Ndiyo, tangazeni jambo hilo, kwa mataifa. Lihubirini dhidi ya Yerusalemu.”

      “Walinzi wanakuja kutoka katika nchi ya mbali,+ nao wataipaaza sauti yao juu ya majiji ya Yuda.

  • Yeremia 25:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 tazama, ninatuma, nami nitazichukua familia zote za kaskazini,”+ asema Yehova, “nitatuma ujumbe kwa Nebukadreza mfalme wa Babiloni, mtumishi wangu,+ nami nitawaleta wao juu ya nchi hii+ na juu ya wakaaji wake na juu ya haya mataifa yote kuzunguka pande zote;+ nami nitawaangamiza na kuwafanya kuwa kitu cha kushangaza na kitu cha kupigiwa mluzi+ na ukiwa mpaka wakati usio na kipimo.+

  • Ezekieli 7:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Nami nitaingiza yaliyo mabaya kabisa kati ya mataifa,+ nayo hakika yatazimiliki nyumba zao,+ nami nitakikomesha kiburi cha wenye nguvu,+ na patakatifu pao patatiwa unajisi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki