25 Nami hakika nitaleta juu yenu upanga unaolipiza kisasi+ kwa ajili ya agano;+ na hakika ninyi mtajikusanya katika majiji yenu, nami hakika nitaleta tauni katikati yenu,+ nanyi mtatiwa mkononi mwa adui.+
15 Kwa maana ‘tazama, ninaziita familia zote za falme za kaskazini,’ asema Yehova;+ ‘nao hakika watakuja na kuweka kila mmoja kiti chake cha ufalme kwenye mwingilio wa malango ya Yerusalemu,+ na juu ya kuta zake zote kuzunguka pande zote na juu ya majiji yote ya Yuda.+
15 “Tazama, ninaleta juu yenu taifa kutoka mbali,+ enyi nyumba ya Israeli,” asema Yehova. “Ni taifa linalodumu. Ni taifa la zamani za kale,+ taifa ambalo lugha yake hamwijui, nanyi hamwezi kusikia na kuelewa yale wanayosema.