Yeremia 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa maana ‘ninaziita familia zote za falme za kaskazini,’ asema Yehova,+‘Nao watakuja; kila mmoja ataweka kiti chake cha ufalmeKwenye malango ya Yerusalemu,+Dhidi ya kuta zake pande zoteNa dhidi ya majiji yote ya Yuda.+
15 Kwa maana ‘ninaziita familia zote za falme za kaskazini,’ asema Yehova,+‘Nao watakuja; kila mmoja ataweka kiti chake cha ufalmeKwenye malango ya Yerusalemu,+Dhidi ya kuta zake pande zoteNa dhidi ya majiji yote ya Yuda.+