15 Kwa maana ‘tazama, ninaziita familia zote za falme za kaskazini,’ asema Yehova;+ ‘nao hakika watakuja na kuweka kila mmoja kiti chake cha ufalme kwenye mwingilio wa malango ya Yerusalemu,+ na juu ya kuta zake zote kuzunguka pande zote na juu ya majiji yote ya Yuda.+