Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:52
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 52 Nao kwa kweli watakuzingira ndani ya malango yako yote mpaka kuta zako ndefu na zenye ngome ambazo unazitumaini zitakapoanguka katika nchi yako yote, naam, hakika watakuzingira ndani ya malango yako katika nchi yako yote, ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe.+

  • Yeremia 4:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Ndiyo, tangazeni jambo hilo, kwa mataifa. Lihubirini dhidi ya Yerusalemu.”

      “Walinzi wanakuja kutoka katika nchi ya mbali,+ nao wataipaaza sauti yao juu ya majiji ya Yuda.

  • Yeremia 9:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nami nitafanya Yerusalemu kuwa rundo la mawe,+ mapango ya mbwa-mwitu;+ na majiji ya Yuda nitayafanya kuwa mahame yenye ukiwa, bila mkaaji.+

  • Yeremia 33:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Yehova amesema hivi, ‘Katika mahali hapa ambapo ninyi mtakuwa mkisema ni ukiwa usio na mwanadamu wala mnyama wa kufugwa, katika majiji ya Yuda na katika barabara za Yerusalemu ambazo ziko ukiwa+ pasipo na mwanadamu wala mkaaji wala mnyama wa kufugwa, bado itasikiwa+

  • Yeremia 34:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 “‘Tazama, mimi ninaamuru,’ asema Yehova, ‘na hakika mimi nitawarudisha katika jiji hili,+ nao watapiga vita juu yake na kuliteka na kuliteketeza kwa moto;+ na majiji ya Yuda nitayafanya kuwa mahame yenye ukiwa bila mkaaji.’”+

  • Yeremia 44:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa hiyo ghadhabu yangu, na hasira yangu, ilimwagwa nayo ikateketeza katika majiji ya Yuda na katika barabara za Yerusalemu;+ nazo zikawa mahali palipoharibiwa, mahame yenye ukiwa, kama ilivyo leo hii.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki