2 Kwa maana umefanya jiji kuwa fungu la mawe, mji wenye ngome kuwa bomoko linaloanguka, mnara wa makao ya wageni usiwe jiji, ambalo halitajengwa upya mpaka wakati usio na kipimo.+
18 “Mika+ wa Moreshethi+ alikuwa akitoa unabii katika siku za Hezekia mfalme wa Yuda+ naye akawaambia watu wote wa Yuda, ‘Yehova wa majeshi amesema hivi: “Sayuni utalimwa kama shamba,+ na Yerusalemu litakuwa marundo ya mabomoko,+ na mlima wa ile Nyumba utakuwa kama mahali pa juu pa msitu.”’+