16 Na nyara zake zote utakusanya katikati ya kiwanja chake cha watu wote, nawe utaliteketeza jiji+ hilo kwa moto pamoja na nyara zake zote kama toleo zima la kuteketezwa kwa Yehova Mungu wako, nalo litakuwa rundo la mabomoko mpaka wakati usio na kipimo.+ Halipaswi kujengwa tena kamwe.
11 Ndipo nikasema: “Ni mpaka wakati gani, Ee Yehova?”+ Kisha akasema: “Ni mpaka majiji yabomoke, yawe bila mkaaji, na nyumba ziwe bila mtu wa udongo, na nchi iharibiwe iwe ukiwa;+