Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 24:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ndipo akaondoa hapo hazina zote za nyumba ya Yehova na hazina za nyumba ya mfalme,+ akakata vipande-vipande vyombo vyote vya dhahabu+ ambavyo Sulemani mfalme wa Israeli alikuwa ametengeneza katika hekalu la Yehova, kama Yehova alivyokuwa amesema.

  • 2 Mambo ya Nyakati 36:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na vyombo+ vyote, vikubwa+ kwa vidogo, vya nyumba ya Mungu wa kweli na hazina za nyumba ya Yehova na hazina+ za mfalme+ na za wakuu wake, kila kitu akakipeleka Babiloni.

  • Zaburi 74:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Wamepatupa ndani ya moto patakatifu pako.+

      Wametia unajisi maskani ya jina lako mpaka chini.+

  • Maombolezo 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Adui amenyoosha mkono wake juu ya vitu vyake vyote vyenye kutamanika.+

      Kwa maana ameona mataifa ambayo yameingia katika patakatifu pake,+

      Ambayo uliamuru kwamba wasiingie katika kutaniko lako.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki