13 Kisha akachukua hazina zote za nyumba ya Yehova na hazina za nyumba ya mfalme.+ Alivikata vipandevipande vyombo vyote vya dhahabu ambavyo Sulemani mfalme wa Israeli alitengeneza katika hekalu la Yehova.+ Hilo lilitendeka kama Yehova alivyokuwa ametabiri.