Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 7:48
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 Na Sulemani mwishowe akavitengeneza vyombo vyote vya nyumba ya Yehova, madhabahu+ ya dhahabu na meza+ ambayo mkate wa wonyesho ulikuwa juu yake, ya dhahabu,

  • 2 Mambo ya Nyakati 4:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kisha akatengeneza vinara vya taa+ vya dhahabu, kumi vya muundo mmoja,+ akaviweka katika hekalu, vitano upande wa kuume na vitano upande wa kushoto.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 36:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na mwanzoni+ mwa mwaka Mfalme Nebukadneza akatuma watu,+ akamleta Babiloni+ pamoja na vyombo vyenye kutamanika vya nyumba ya Yehova.+ Tena akamfanya Sedekia+ ndugu ya baba yake kuwa mfalme juu ya Yuda na Yerusalemu.+

  • Ezra 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Pia, Mfalme Koreshi mwenyewe akaleta vyombo vya nyumba ya Yehova,+ ambavyo Nebukadneza alikuwa ameleta kutoka Yerusalemu+ na kuviweka katika nyumba ya mungu wake.+

  • Yeremia 28:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Katika muda wa miaka miwili kamili nitavirudisha mahali hapa vyombo vyote vya nyumba ya Yehova ambavyo Nebukadneza mfalme wa Babiloni+ alivichukua kutoka mahali hapa ili kuvipeleka Babiloni.’”

  • Danieli 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Akiwa amechochewa na divai,+ Belshaza akasema viletwe vyombo vya dhahabu na fedha+ ambavyo Nebukadneza baba yake alikuwa amevichukua kutoka hekalu lililokuwa Yerusalemu, ili mfalme na wakuu wake, masuria wake na wake zake wadogo wavinywee.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki