Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 25:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na mkuu wa walinzi akachukua vyetezo na mabakuli yaliyokuwa ya dhahabu+ halisi na yale yaliyokuwa ya fedha halisi.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 36:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na vyombo+ vyote, vikubwa+ kwa vidogo, vya nyumba ya Mungu wa kweli na hazina za nyumba ya Yehova na hazina+ za mfalme+ na za wakuu wake, kila kitu akakipeleka Babiloni.

  • Ezra 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Pia, Mfalme Koreshi mwenyewe akaleta vyombo vya nyumba ya Yehova,+ ambavyo Nebukadneza alikuwa ameleta kutoka Yerusalemu+ na kuviweka katika nyumba ya mungu wake.+

  • Yeremia 27:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Nami nikawaambia makuhani na watu hawa wote, nikisema: “Yehova amesema hivi, ‘Msiyasikilize maneno ya manabii wenu wanaowatolea unabii, wakisema: “Tazama! Vyombo vya nyumba ya Yehova vitarudishwa kutoka Babiloni hivi karibuni!”+ Kwa maana wanawatolea ninyi unabii wa uwongo.+

  • Yeremia 52:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na beseni+ na vyetezo na mabakuli na makopo na vinara vya taa+ na vikombe na mabakuli+ yaliyokuwa ya dhahabu halisi,+ na vile vilivyokuwa vya fedha halisi,+ yule mkuu wa walinzi akavichukua.+

  • Danieli 1:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Baada ya muda Yehova akamtia Yehoyakimu mfalme wa Yuda+ mkononi mwake, pamoja na sehemu ya vyombo+ vya nyumba ya Mungu wa kweli, naye akavileta katika nchi ya Shinari+ nyumbani kwa mungu wake; akaleta vyombo hivyo kwenye nyumba ya hazina ya mungu wake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki