Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 24:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ndipo akaondoa hapo hazina zote za nyumba ya Yehova na hazina za nyumba ya mfalme,+ akakata vipande-vipande vyombo vyote vya dhahabu+ ambavyo Sulemani mfalme wa Israeli alikuwa ametengeneza katika hekalu la Yehova, kama Yehova alivyokuwa amesema.

  • 2 Mambo ya Nyakati 36:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na sehemu ya vyombo+ vya nyumba ya Yehova, Nebukadneza+ akavipeleka Babiloni kisha akaviweka katika jumba lake la kifalme kule Babiloni.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 36:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na vyombo+ vyote, vikubwa+ kwa vidogo, vya nyumba ya Mungu wa kweli na hazina za nyumba ya Yehova na hazina+ za mfalme+ na za wakuu wake, kila kitu akakipeleka Babiloni.

  • Danieli 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Akiwa amechochewa na divai,+ Belshaza akasema viletwe vyombo vya dhahabu na fedha+ ambavyo Nebukadneza baba yake alikuwa amevichukua kutoka hekalu lililokuwa Yerusalemu, ili mfalme na wakuu wake, masuria wake na wake zake wadogo wavinywee.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki