Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 20:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na Hezekia akawasikiliza na kuwaonyesha nyumba yake yote ya hazina,+ fedha na dhahabu+ na mafuta ya zeri+ na mafuta mazuri na ghala lake la silaha na vyote vilivyokuwa katika hazina zake. Hakuna kitu chochote ambacho Hezekia hakuwaonyesha katika nyumba yake na katika mamlaka yake yote.+

  • 2 Wafalme 20:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 ‘ “Tazama! Siku zinakuja, na vyote vilivyo ndani ya nyumba+ yako na ambavyo mababu zako wameweka akiba mpaka leo hii vitachukuliwa kwenda Babiloni.+ Hakuna chochote kitakachobaki,”+ Yehova amesema.

  • Isaya 39:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 ‘Tazama! Siku zinakuja, na vyote vilivyo ndani ya nyumba yako na ambavyo mababu zako wameweka akiba mpaka leo hii kwa kweli vitachukuliwa kwenda Babiloni.’+ ‘Hakuna chochote kitakachobaki,’+ Yehova amesema.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki