13 Na Hezekia akawasikiliza na kuwaonyesha nyumba yake yote ya hazina,+ fedha na dhahabu+ na mafuta ya zeri+ na mafuta mazuri na ghala lake la silaha na vyote vilivyokuwa katika hazina zake. Hakuna kitu chochote ambacho Hezekia hakuwaonyesha katika nyumba yake na katika mamlaka yake yote.+
17 ‘ “Tazama! Siku zinakuja, na vyote vilivyo ndani ya nyumba+ yako na ambavyo mababu zako wameweka akiba mpaka leo hii vitachukuliwa kwenda Babiloni.+ Hakuna chochote kitakachobaki,”+ Yehova amesema.
6 ‘Tazama! Siku zinakuja, na vyote vilivyo ndani ya nyumba yako na ambavyo mababu zako wameweka akiba mpaka leo hii kwa kweli vitachukuliwa kwenda Babiloni.’+ ‘Hakuna chochote kitakachobaki,’+ Yehova amesema.