Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 32:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Na Hezekia akawa na utajiri na utukufu kwa wingi sana;+ akajijengea maghala kwa ajili ya fedha na kwa ajili ya dhahabu+ na kwa ajili ya mawe ya thamani+ na kwa ajili ya mafuta ya zeri+ na kwa ajili ya ngao+ na kwa ajili ya vyombo vyote vyenye kutamanika;+

  • Zaburi 49:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Wale wanaotegemea riziki zao,+

      Na ambao wanaendelea kujisifu juu ya wingi wa utajiri wao,+

  • Yeremia 9:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Yehova amesema hivi: “Mtu mwenye hekima asijigambe kwa sababu ya hekima yake,+ wala mwanamume mwenye nguvu asijigambe kwa sababu ya nguvu zake.+ Mtu tajiri asijigambe kwa sababu ya utajiri wake.”+

  • Yakobo 4:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Lakini sasa mnajivunia kujigamba kwenu kwa kujidai.+ Majivuno yote ya namna hiyo ni maovu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki