27 Na Hezekia akawa na utajiri na utukufu kwa wingi sana;+ akajijengea maghala kwa ajili ya fedha na kwa ajili ya dhahabu+ na kwa ajili ya mawe ya thamani+ na kwa ajili ya mafuta ya zeri+ na kwa ajili ya ngao+ na kwa ajili ya vyombo vyote vyenye kutamanika;+
23 Yehova amesema hivi: “Mtu mwenye hekima asijigambe kwa sababu ya hekima yake,+ wala mwanamume mwenye nguvu asijigambe kwa sababu ya nguvu zake.+ Mtu tajiri asijigambe kwa sababu ya utajiri wake.”+