12 unapewa hekima na ujuzi;+ pia nitakupa mali na utajiri na heshima ambavyo hakuna mfalme yeyote aliyekutangulia amepata kuwa navyo,+ wala baada yako hakuna yeyote atakayekuwa navyo.”+
5 Na Yehova akaendelea kuufanya imara ufalme mkononi mwake;+ na Yuda wote wakaendelea kumpa Yehoshafati zawadi,+ naye akawa na utajiri na utukufu mwingi.+