1 Mambo ya Nyakati 29:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Na Yehova akaendelea kumfanya Sulemani kuwa mkuu zaidi+ mbele ya macho ya Israeli wote na kuweka juu yake heshima ya kifalme ambayo haikuwa imepata kuwa juu ya mfalme yeyote kabla yake juu ya Israeli.+ 2 Mambo ya Nyakati 9:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Basi Mfalme Sulemani alikuwa mkuu katika utajiri+ na hekima+ kuliko wafalme wengine wote wa dunia. Mhubiri 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nikawa mkuu zaidi na kuongezeka kuliko mtu yeyote aliyenitangulia katika Yerusalemu.+ Tena, nikaendelea kukaa na hekima yangu.+
25 Na Yehova akaendelea kumfanya Sulemani kuwa mkuu zaidi+ mbele ya macho ya Israeli wote na kuweka juu yake heshima ya kifalme ambayo haikuwa imepata kuwa juu ya mfalme yeyote kabla yake juu ya Israeli.+
22 Basi Mfalme Sulemani alikuwa mkuu katika utajiri+ na hekima+ kuliko wafalme wengine wote wa dunia.
9 Nikawa mkuu zaidi na kuongezeka kuliko mtu yeyote aliyenitangulia katika Yerusalemu.+ Tena, nikaendelea kukaa na hekima yangu.+