1 Wafalme 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na pia nitakupa yale ambayo hukuomba,+ utajiri+ na utukufu pia, hivi kwamba hatakuwapo yeyote kati ya wafalme aliye kama wewe, siku zako zote.+ 1 Wafalme 10:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Basi Mfalme Sulemani alikuwa mkuu katika utajiri+ na hekima+ kuliko wafalme wengine wote wa dunia. Zaburi 89:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Pia, mimi mwenyewe nitamweka kama mzaliwa wa kwanza,+Aliye juu zaidi kati ya wafalme wa dunia.+ Waefeso 3:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mimi, niliye mtu mdogo kuliko aliye mdogo+ zaidi kati ya watakatifu wote, nilipewa fadhili hizi zisizostahiliwa,+ ili niwatangazie mataifa+ habari njema juu ya utajiri+ usiopimika wa Kristo
13 Na pia nitakupa yale ambayo hukuomba,+ utajiri+ na utukufu pia, hivi kwamba hatakuwapo yeyote kati ya wafalme aliye kama wewe, siku zako zote.+
23 Basi Mfalme Sulemani alikuwa mkuu katika utajiri+ na hekima+ kuliko wafalme wengine wote wa dunia.
8 Mimi, niliye mtu mdogo kuliko aliye mdogo+ zaidi kati ya watakatifu wote, nilipewa fadhili hizi zisizostahiliwa,+ ili niwatangazie mataifa+ habari njema juu ya utajiri+ usiopimika wa Kristo