1 Wafalme 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na pia nitakupa yale ambayo hukuomba,+ utajiri+ na utukufu pia, hivi kwamba hatakuwapo yeyote kati ya wafalme aliye kama wewe, siku zako zote.+ 2 Mambo ya Nyakati 9:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Basi Mfalme Sulemani alikuwa mkuu katika utajiri+ na hekima+ kuliko wafalme wengine wote wa dunia. Mhubiri 5:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Pia kila mwanadamu ambaye Mungu amempa utajiri na mali,+ amempa hata na uwezo wa kula katika hizo+ na kuchukua fungu lake na kushangilia katika kazi yake ngumu.+ Hiyo ndiyo zawadi ya Mungu.+
13 Na pia nitakupa yale ambayo hukuomba,+ utajiri+ na utukufu pia, hivi kwamba hatakuwapo yeyote kati ya wafalme aliye kama wewe, siku zako zote.+
22 Basi Mfalme Sulemani alikuwa mkuu katika utajiri+ na hekima+ kuliko wafalme wengine wote wa dunia.
19 Pia kila mwanadamu ambaye Mungu amempa utajiri na mali,+ amempa hata na uwezo wa kula katika hizo+ na kuchukua fungu lake na kushangilia katika kazi yake ngumu.+ Hiyo ndiyo zawadi ya Mungu.+