Mhubiri 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 na pia kwamba kila mtu ale, naam, anywe na kuona mema kwa ajili ya kazi yake yote iliyo ngumu.+ Hiyo ndiyo zawadi ya Mungu.+ Yakobo 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kila zawadi njema+ na kila tuzo kamilifu hutoka juu,+ kwa maana hushuka kutoka kwa Baba wa mianga ya mbinguni,+ naye habadiliki, kama kugeuka kwa kivuli.+
13 na pia kwamba kila mtu ale, naam, anywe na kuona mema kwa ajili ya kazi yake yote iliyo ngumu.+ Hiyo ndiyo zawadi ya Mungu.+
17 Kila zawadi njema+ na kila tuzo kamilifu hutoka juu,+ kwa maana hushuka kutoka kwa Baba wa mianga ya mbinguni,+ naye habadiliki, kama kugeuka kwa kivuli.+