1 Wafalme 10:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Basi Mfalme Sulemani alikuwa mkuu katika utajiri+ na hekima+ kuliko wafalme wengine wote wa dunia. 2 Mambo ya Nyakati 1:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 unapewa hekima na ujuzi;+ pia nitakupa mali na utajiri na heshima ambavyo hakuna mfalme yeyote aliyekutangulia amepata kuwa navyo,+ wala baada yako hakuna yeyote atakayekuwa navyo.”+
23 Basi Mfalme Sulemani alikuwa mkuu katika utajiri+ na hekima+ kuliko wafalme wengine wote wa dunia.
12 unapewa hekima na ujuzi;+ pia nitakupa mali na utajiri na heshima ambavyo hakuna mfalme yeyote aliyekutangulia amepata kuwa navyo,+ wala baada yako hakuna yeyote atakayekuwa navyo.”+