Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 1
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Mambo ya Nyakati 1:1

Marejeo

  • +1Fa 2:12
  • +2Sa 7:12
  • +1Fa 3:13; 1Nya 29:25; Mhu 2:9; Mt 6:29; 12:42

2 Mambo ya Nyakati 1:2

Marejeo

  • +Kut 18:25
  • +Kum 1:15
  • +1Nya 23:4; 26:29
  • +1Nya 28:1
  • +1Nya 24:31; 27:1

2 Mambo ya Nyakati 1:3

Marejeo

  • +1Fa 3:5; 1Nya 16:39; 21:29
  • +Kut 40:2; Law 1:1
  • +Kum 34:5; Ebr 3:5

2 Mambo ya Nyakati 1:4

Marejeo

  • +2Sa 6:2
  • +1Nya 13:5
  • +1Nya 15:1
  • +1Nya 16:1; Zb 132:5

2 Mambo ya Nyakati 1:5

Marejeo

  • +Kut 38:1
  • +Kut 31:2
  • +1Nya 2:20

2 Mambo ya Nyakati 1:6

Marejeo

  • +1Fa 3:4

2 Mambo ya Nyakati 1:7

Marejeo

  • +1Fa 3:5

2 Mambo ya Nyakati 1:8

Marejeo

  • +2Sa 7:8; Zb 89:28
  • +1Nya 28:5

2 Mambo ya Nyakati 1:9

Marejeo

  • +2Sa 7:12; 1Nya 17:25; 28:6; Zb 132:11
  • +1Sa 2:7; 1Fa 3:7
  • +Mwa 13:16

2 Mambo ya Nyakati 1:10

Marejeo

  • +1Fa 3:9; Met 2:6; 3:13; Yak 1:5
  • +Hes 27:17; 2Sa 5:2
  • +1Fa 3:8; Zb 72:2

2 Mambo ya Nyakati 1:11

Marejeo

  • +1Sa 16:7; 1Nya 29:17
  • +1Fa 3:11
  • +1Fa 3:28; Met 14:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    12/1/2005, uku. 19

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 12/1 19

2 Mambo ya Nyakati 1:12

Marejeo

  • +1Fa 3:12; Zb 34:10; Efe 3:20; 1Yo 5:15
  • +1Nya 29:25; 2Nya 9:22; Mhu 2:9
  • +1Fa 3:13

2 Mambo ya Nyakati 1:13

Marejeo

  • +1Fa 3:4; 1Nya 16:39; 21:29
  • +Kut 40:2
  • +1Fa 4:25

2 Mambo ya Nyakati 1:14

Marejeo

  • +Kum 17:16; 1Fa 4:26
  • +2Nya 8:6; 9:25

2 Mambo ya Nyakati 1:15

Marejeo

  • +1Fa 10:21
  • +1Fa 10:27
  • +2Nya 9:27; 26:10

2 Mambo ya Nyakati 1:16

Marejeo

  • +2Nya 9:28
  • +1Fa 10:28

2 Mambo ya Nyakati 1:17

Marejeo

  • +1Fa 10:29

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Nya. 1:11Fa 2:12
2 Nya. 1:12Sa 7:12
2 Nya. 1:11Fa 3:13; 1Nya 29:25; Mhu 2:9; Mt 6:29; 12:42
2 Nya. 1:2Kut 18:25
2 Nya. 1:2Kum 1:15
2 Nya. 1:21Nya 23:4; 26:29
2 Nya. 1:21Nya 28:1
2 Nya. 1:21Nya 24:31; 27:1
2 Nya. 1:3Kum 34:5; Ebr 3:5
2 Nya. 1:31Fa 3:5; 1Nya 16:39; 21:29
2 Nya. 1:3Kut 40:2; Law 1:1
2 Nya. 1:42Sa 6:2
2 Nya. 1:41Nya 13:5
2 Nya. 1:41Nya 15:1
2 Nya. 1:41Nya 16:1; Zb 132:5
2 Nya. 1:5Kut 38:1
2 Nya. 1:5Kut 31:2
2 Nya. 1:51Nya 2:20
2 Nya. 1:61Fa 3:4
2 Nya. 1:71Fa 3:5
2 Nya. 1:82Sa 7:8; Zb 89:28
2 Nya. 1:81Nya 28:5
2 Nya. 1:92Sa 7:12; 1Nya 17:25; 28:6; Zb 132:11
2 Nya. 1:91Sa 2:7; 1Fa 3:7
2 Nya. 1:9Mwa 13:16
2 Nya. 1:101Fa 3:9; Met 2:6; 3:13; Yak 1:5
2 Nya. 1:10Hes 27:17; 2Sa 5:2
2 Nya. 1:101Fa 3:8; Zb 72:2
2 Nya. 1:111Sa 16:7; 1Nya 29:17
2 Nya. 1:111Fa 3:11
2 Nya. 1:111Fa 3:28; Met 14:8
2 Nya. 1:121Fa 3:12; Zb 34:10; Efe 3:20; 1Yo 5:15
2 Nya. 1:121Nya 29:25; 2Nya 9:22; Mhu 2:9
2 Nya. 1:121Fa 3:13
2 Nya. 1:131Fa 3:4; 1Nya 16:39; 21:29
2 Nya. 1:13Kut 40:2
2 Nya. 1:131Fa 4:25
2 Nya. 1:14Kum 17:16; 1Fa 4:26
2 Nya. 1:142Nya 8:6; 9:25
2 Nya. 1:151Fa 10:21
2 Nya. 1:151Fa 10:27
2 Nya. 1:152Nya 9:27; 26:10
2 Nya. 1:162Nya 9:28
2 Nya. 1:161Fa 10:28
2 Nya. 1:171Fa 10:29
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Mambo ya Nyakati 1:1-17

2 Mambo ya Nyakati

Kitabu cha Pili cha Mambo ya Nyakati

1 Naye Sulemani mwana wa Daudi akaendelea kupata nguvu katika ufalme wake,+ na Yehova Mungu wake alikuwa pamoja naye,+ akaendelea kumfanya kuwa mkuu zaidi.+

2 Na Sulemani akasema na Israeli wote, kwa wakuu wa maelfu+ na wa mamia+ na kwa waamuzi+ na wakuu wote wa Israeli,+ vichwa vya nyumba za ukoo wa upande wa baba.+ 3 Kisha Sulemani na kutaniko lote pamoja naye wakaenda mahali pa juu palipokuwa katika Gibeoni;+ kwa maana hapo ndipo lilipokuwa lile hema la mkutano+ la Mungu wa kweli, ambalo Musa mtumishi+ wa Yehova alitengeneza nyikani. 4 Hata hivyo, Daudi alikuwa amelileta sanduku+ la Mungu wa kweli kutoka Kiriath-yearimu+ mpaka mahali ambapo Daudi alikuwa amelitayarishia,+ kwa maana alikuwa amelisimamishia hema katika Yerusalemu.+ 5 Na ile madhabahu ya shaba+ ambayo Bezaleli+ mwana wa Uri mwana wa Huru+ alikuwa ametengeneza ilikuwa imewekwa mbele ya maskani ya Yehova; na Sulemani na kutaniko wakatoa maombi yao mbele yake kama kawaida. 6 Kisha Sulemani akafanya matoleo hapo mbele za Yehova juu ya ile madhabahu ya shaba ya hema la mkutano, naye akatoa juu yake matoleo elfu moja ya kuteketezwa.+

7 Usiku huo Mungu akamtokea Sulemani na kumwambia: “Omba! Nikupe nini?”+ 8 Ndipo Sulemani akamwambia Mungu: “Wewe Ndiye uliyemwonyesha Daudi baba yangu+ fadhili kubwa zenye upendo na kunifanya niwe mfalme mahali pake.+ 9 Sasa, Ee Yehova Mungu, acha ahadi yako kwa Daudi baba yangu itimie,+ kwa maana wewe mwenyewe umenifanya kuwa mfalme+ juu ya watu wengi sana kama chembe za mavumbi ya dunia.+ 10 Sasa unipe hekima na ujuzi+ ili nitoke mbele ya watu hawa na ili niingie ndani,+ kwa maana ni nani anayeweza kuwahukumu hawa watu wako walio wengi?”+

11 Ndipo Mungu akamwambia Sulemani: “Kwa sababu jambo hili liko moyoni+ mwako nawe hukuomba mali, utajiri wala heshima wala nafsi ya wale wanaokuchukia, wala hata hukuomba wingi wa siku,+ bali unaomba hekima na ujuzi kwa ajili yako ili uwahukumu watu wangu ambao nimekufanya kuwa mfalme juu yao,+ 12 unapewa hekima na ujuzi;+ pia nitakupa mali na utajiri na heshima ambavyo hakuna mfalme yeyote aliyekutangulia amepata kuwa navyo,+ wala baada yako hakuna yeyote atakayekuwa navyo.”+

13 Basi Sulemani akatoka pale mahali pa juu palipokuwa katika Gibeoni,+ kutoka mbele ya hema la mkutano,+ akaja Yerusalemu, akaendelea kutawala juu ya Israeli.+ 14 Na Sulemani akaendelea kukusanya magari na farasi wa vita hivi kwamba akawa na magari elfu moja na mia nne na farasi wa vita kumi na mbili elfu,+ akawaweka katika majiji ya magari+ na karibu na mfalme katika Yerusalemu. 15 Na mfalme akafanya fedha na dhahabu iliyomo Yerusalemu kuwa kama mawe;+ naye akafanya mierezi iwe kama mikuyu+ iliyoko Shefela+ kwa wingi. 16 Na farasi wa Sulemani walisafirishwa kutoka Misri,+ na wanabiashara wa mfalme wakawa wakichukua kundi la farasi kwa bei fulani.+ 17 Nao wakawa wakipandisha na kusafirisha kwa ukawaida gari kutoka Misri kwa vipande 600 vya fedha na farasi kwa vipande 150; na hivyo ndivyo ilivyokuwa kwa wafalme wote wa Wahiti na wafalme wa Siria.+ Walikuwa wakisafirisha vitu kupitia hao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki