2 Mambo ya Nyakati 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Sasa, Ee Yehova Mungu, ahadi uliyompa Daudi baba yangu na ithibitike kuwa ya uaminifu,+ kwa maana umeniweka kuwa mfalme juu ya watu wengi sana kama chembe za mavumbi ya dunia.+
9 Sasa, Ee Yehova Mungu, ahadi uliyompa Daudi baba yangu na ithibitike kuwa ya uaminifu,+ kwa maana umeniweka kuwa mfalme juu ya watu wengi sana kama chembe za mavumbi ya dunia.+