Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 3:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na pia nitakupa yale ambayo hukuomba,+ utajiri+ na utukufu pia, hivi kwamba hatakuwapo yeyote kati ya wafalme aliye kama wewe, siku zako zote.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 29:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Na Yehova akaendelea kumfanya Sulemani kuwa mkuu zaidi+ mbele ya macho ya Israeli wote na kuweka juu yake heshima ya kifalme ambayo haikuwa imepata kuwa juu ya mfalme yeyote kabla yake juu ya Israeli.+

  • Mhubiri 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nikawa mkuu zaidi na kuongezeka kuliko mtu yeyote aliyenitangulia katika Yerusalemu.+ Tena, nikaendelea kukaa na hekima yangu.+

  • Mathayo 6:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 lakini ninawaambia ninyi kwamba hata Sulemani+ katika utukufu wake wote hakupambwa kama moja la haya.

  • Mathayo 12:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Malkia wa kusini+ atasimama katika hukumu pamoja na kizazi hiki naye atakihukumu kuwa chenye hatia; kwa sababu alikuja kutoka miisho ya dunia kuisikia hekima ya Sulemani, lakini, tazama! mtu mkuu kuliko Sulemani yuko hapa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki