Mathayo 11:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Nitakilinganisha kizazi hiki na nani?+ Ni kama watoto wachanga ambao wameketi masokoni wanaowapaazia sauti wachezaji wenzao,+ Mathayo 12:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Lakini ninawaambia ninyi kwamba kitu kikuu kuliko hekalu+ kiko hapa. Luka 11:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Malkia+ wa kusini atasimamishwa katika hukumu pamoja na watu wa kizazi hiki naye atawahukumu kuwa wenye hatia; kwa sababu yeye alikuja kutoka miisho ya dunia ili aisikie hekima ya Sulemani, lakini, tazameni! Aliye mkuu+ kuliko Sulemani yupo hapa.
16 “Nitakilinganisha kizazi hiki na nani?+ Ni kama watoto wachanga ambao wameketi masokoni wanaowapaazia sauti wachezaji wenzao,+
31 Malkia+ wa kusini atasimamishwa katika hukumu pamoja na watu wa kizazi hiki naye atawahukumu kuwa wenye hatia; kwa sababu yeye alikuja kutoka miisho ya dunia ili aisikie hekima ya Sulemani, lakini, tazameni! Aliye mkuu+ kuliko Sulemani yupo hapa.