3 Nikachunguza kwa moyo wangu kwa kuuchangamsha mwili wangu kwa divai,+ huku nikiuongoza moyo wangu kwa hekima,+ hata nipate kushika upumbavu mpaka nione kuna faida gani kwa wana wa binadamu katika mambo waliyofanya chini ya mbingu siku za maisha yao.+