Methali 31:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Haifai wafalme, ewe Lemueli, haifai wafalme kunywa divai wala maofisa wakuu kuuliza: “Kileo kiko wapi?”+ Mhubiri 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nami nikauruhusu moyo wangu ujue hekima na wazimu,+ nami nimejua upumbavu,+ kwamba hayo pia ni kufuatilia upepo.+ Waefeso 5:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Pia, msiwe mkilewa+ divai, ambayo ina upotovu ndani yake,+ bali endeleeni kujazwa na roho,+
4 Haifai wafalme, ewe Lemueli, haifai wafalme kunywa divai wala maofisa wakuu kuuliza: “Kileo kiko wapi?”+
17 Nami nikauruhusu moyo wangu ujue hekima na wazimu,+ nami nimejua upumbavu,+ kwamba hayo pia ni kufuatilia upepo.+