Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mhubiri 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nikachunguza kwa moyo wangu kwa kuuchangamsha mwili wangu kwa divai,+ huku nikiuongoza moyo wangu kwa hekima,+ hata nipate kushika upumbavu mpaka nione kuna faida gani kwa wana wa binadamu katika mambo waliyofanya chini ya mbingu siku za maisha yao.+

  • Mhubiri 7:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Mimi mwenyewe niligeuka, hata moyo wangu ukageuka,+ nipate kujua na kuchunguza na kutafuta hekima+ na sababu ya mambo,+ na kujua juu ya uovu wa ujinga na upumbavu wa wazimu;+

  • Mhubiri 10:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nzi waliokufa ndio hufanya mafuta ya mtengenezaji wa marashi+ yanuke, na kutoa povu. Ndivyo upumbavu kidogo unavyomfanya mtu mwenye thamani kwa sababu ya hekima na utukufu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki