Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Je, Yehova ndiye mnayeendelea kumfanyia hivi,+

      Enyi watu wajinga na ambao hawana hekima?+

      Je, yeye si Baba yenu aliyewazaa,+

      Yeye aliyewafanyiza ninyi na kuwaimarisha?+

  • Methali 11:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Yeyote anayeiletea nyumba yake taabu,+ ataumiliki upepo;+ na mtu mpumbavu atakuwa mtumishi wa mtu mwenye hekima moyoni.

  • Mhubiri 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nami, naam mimi, nikageuka nione hekima+ na wazimu na upumbavu;+ kwa maana mtu wa udongo anayekuja baada ya mfalme anaweza kufanya nini? Jambo ambalo watu tayari wamefanya.

  • Mhubiri 9:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Hili ndilo jambo lenye msiba katika yote ambayo yamefanywa chini ya jua, ya kwamba, kwa sababu wote hufikiwa na mwisho uleule,+ moyo wa wana wa binadamu pia umejaa mabaya;+ na kuna wazimu+ mioyoni mwao wakati wa maisha yao, na baada ya hayo—ni kwenda kwa wafu!+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki