Mhubiri 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nami nikauruhusu moyo wangu ujue hekima na wazimu,+ nami nimejua upumbavu,+ kwamba hayo pia ni kufuatilia upepo.+ Mhubiri 7:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Mimi mwenyewe niligeuka, hata moyo wangu ukageuka,+ nipate kujua na kuchunguza na kutafuta hekima+ na sababu ya mambo,+ na kujua juu ya uovu wa ujinga na upumbavu wa wazimu;+
17 Nami nikauruhusu moyo wangu ujue hekima na wazimu,+ nami nimejua upumbavu,+ kwamba hayo pia ni kufuatilia upepo.+
25 Mimi mwenyewe niligeuka, hata moyo wangu ukageuka,+ nipate kujua na kuchunguza na kutafuta hekima+ na sababu ya mambo,+ na kujua juu ya uovu wa ujinga na upumbavu wa wazimu;+