Mhubiri 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Basi nikaanza kuchunguza hekima na wazimu na ujinga.+ (Kwa maana mtu anayekuja baada ya mfalme anaweza kufanya nini? Anaweza kufanya tu jambo ambalo tayari limefanywa.)
12 Basi nikaanza kuchunguza hekima na wazimu na ujinga.+ (Kwa maana mtu anayekuja baada ya mfalme anaweza kufanya nini? Anaweza kufanya tu jambo ambalo tayari limefanywa.)