Mhubiri 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nami, naam mimi, nikageuka nione hekima+ na wazimu na upumbavu;+ kwa maana mtu wa udongo anayekuja baada ya mfalme anaweza kufanya nini? Jambo ambalo watu tayari wamefanya.
12 Nami, naam mimi, nikageuka nione hekima+ na wazimu na upumbavu;+ kwa maana mtu wa udongo anayekuja baada ya mfalme anaweza kufanya nini? Jambo ambalo watu tayari wamefanya.