Ayubu 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Wadogo na wakubwa wamo mle pamoja,+Naye mtumwa anawekwa huru kutoka kwa bwana wake. Ayubu 14:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini mwanamume hufa na kulala akiwa ameshindwa;Na mtu wa udongo hukata pumzi, naye yuko wapi?+ Mhubiri 2:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nami mwenyewe nikasema moyoni mwangu:+ “Mwisho uleule unaompata mjinga+ utanipata mimi, naam mimi.”+ Kwa nini mimi basi, nikawa na hekima, hekima yenye kuzidi sana+ hivyo wakati huo? Kisha nikasema moyoni mwangu: “Hilo pia ni ubatili.”
15 Nami mwenyewe nikasema moyoni mwangu:+ “Mwisho uleule unaompata mjinga+ utanipata mimi, naam mimi.”+ Kwa nini mimi basi, nikawa na hekima, hekima yenye kuzidi sana+ hivyo wakati huo? Kisha nikasema moyoni mwangu: “Hilo pia ni ubatili.”