Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 3:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Wadogo na wakubwa wamo mle pamoja,+

      Naye mtumwa anawekwa huru kutoka kwa bwana wake.

  • Ayubu 14:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Lakini mwanamume hufa na kulala akiwa ameshindwa;

      Na mtu wa udongo hukata pumzi, naye yuko wapi?+

  • Mhubiri 2:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nami mwenyewe nikasema moyoni mwangu:+ “Mwisho uleule unaompata mjinga+ utanipata mimi, naam mimi.”+ Kwa nini mimi basi, nikawa na hekima, hekima yenye kuzidi sana+ hivyo wakati huo? Kisha nikasema moyoni mwangu: “Hilo pia ni ubatili.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki