Mhubiri 2:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kisha nikasema moyoni mwangu: “Kinachompata mpumbavu ndicho kitakachonipata mimi pia.”+ Sasa, basi, nilipata faida gani kwa kuwa na hekima kupita kiasi? Basi nikasema moyoni mwangu: “Hili pia ni ubatili.”
15 Kisha nikasema moyoni mwangu: “Kinachompata mpumbavu ndicho kitakachonipata mimi pia.”+ Sasa, basi, nilipata faida gani kwa kuwa na hekima kupita kiasi? Basi nikasema moyoni mwangu: “Hili pia ni ubatili.”