12 tazama! Hakika nitafanya kulingana na maneno yako.+ Tazama! Mimi hakika nitakupa moyo wenye hekima na wenye uelewaji,+ hivi kwamba hakuna mmoja kama wewe ambaye amekuwako kabla yako, na baada yako hatasimama mwingine kama wewe.+
31 Malkia+ wa kusini atasimamishwa katika hukumu pamoja na watu wa kizazi hiki naye atawahukumu kuwa wenye hatia; kwa sababu yeye alikuja kutoka miisho ya dunia ili aisikie hekima ya Sulemani, lakini, tazameni! Aliye mkuu+ kuliko Sulemani yupo hapa.