Zaburi 10:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Tamaa ya wapole hakika utaisikia,+ Ee Yehova.Utautayarisha moyo wao.+Utasikiliza kwa makini kwa sikio lako.+ Mhubiri 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Mimi, naam, mimi mwenyewe nilisema moyoni mwangu:+ “Tazama! Mimi mwenyewe nimepata hekima nyingi kuliko yeyote aliyenitangulia katika Yerusalemu,+ nao moyo wangu mwenyewe umeona kwa wingi sana hekima na ujuzi.”+ Isaya 65:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Na kwa kweli itakuwa kwamba kabla hawajaita mimi mwenyewe nitajibu;+ wakiwa bado wanasema, mimi nitasikia.+ 1 Yohana 5:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na huu ndio uhakika ambao tunao kwake,+ kwamba, hata tukiomba nini kulingana na mapenzi yake, yeye hutusikia.+
17 Tamaa ya wapole hakika utaisikia,+ Ee Yehova.Utautayarisha moyo wao.+Utasikiliza kwa makini kwa sikio lako.+
16 Mimi, naam, mimi mwenyewe nilisema moyoni mwangu:+ “Tazama! Mimi mwenyewe nimepata hekima nyingi kuliko yeyote aliyenitangulia katika Yerusalemu,+ nao moyo wangu mwenyewe umeona kwa wingi sana hekima na ujuzi.”+
24 Na kwa kweli itakuwa kwamba kabla hawajaita mimi mwenyewe nitajibu;+ wakiwa bado wanasema, mimi nitasikia.+
14 Na huu ndio uhakika ambao tunao kwake,+ kwamba, hata tukiomba nini kulingana na mapenzi yake, yeye hutusikia.+