Mwanzo 14:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na Melkizedeki+ mfalme wa Salemu+ akaleta mkate na divai,+ naye alikuwa kuhani wa Mungu Aliye Juu Zaidi.+ 2 Mambo ya Nyakati 1:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 unapewa hekima na ujuzi;+ pia nitakupa mali na utajiri na heshima ambavyo hakuna mfalme yeyote aliyekutangulia amepata kuwa navyo,+ wala baada yako hakuna yeyote atakayekuwa navyo.”+ Mhubiri 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nikawa mkuu zaidi na kuongezeka kuliko mtu yeyote aliyenitangulia katika Yerusalemu.+ Tena, nikaendelea kukaa na hekima yangu.+
18 Na Melkizedeki+ mfalme wa Salemu+ akaleta mkate na divai,+ naye alikuwa kuhani wa Mungu Aliye Juu Zaidi.+
12 unapewa hekima na ujuzi;+ pia nitakupa mali na utajiri na heshima ambavyo hakuna mfalme yeyote aliyekutangulia amepata kuwa navyo,+ wala baada yako hakuna yeyote atakayekuwa navyo.”+
9 Nikawa mkuu zaidi na kuongezeka kuliko mtu yeyote aliyenitangulia katika Yerusalemu.+ Tena, nikaendelea kukaa na hekima yangu.+