Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 110:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Yehova ameapa+ (naye hatajuta):+

      “Wewe ni kuhani mpaka wakati usio na kipimo+

      Kwa mfano wa Melkizedeki!”+

  • Waebrania 6:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 ambamo mtangulizi ameingia kwa ajili yetu,+ Yesu, ambaye amekuwa kuhani mkuu milele kwa mfano wa Melkizedeki.+

  • Waebrania 7:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa kuwa asiye na baba, asiye na mama, bila ukoo, akiwa hana mwanzo wa siku+ wala mwisho wa uzima, bali akiwa amefanywa kama Mwana wa Mungu,+ anadumu akiwa kuhani daima.+

  • Waebrania 7:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 kwa maana alikuwa bado katika viuno+ vya babu yake wakati Melkizedeki alipokutana naye.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki