Zaburi 110:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yehova ameapa+ (naye hatajuta):+“Wewe ni kuhani mpaka wakati usio na kipimo+Kwa mfano wa Melkizedeki!”+ Waebrania 6:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 ambamo mtangulizi ameingia kwa ajili yetu,+ Yesu, ambaye amekuwa kuhani mkuu milele kwa mfano wa Melkizedeki.+ Waebrania 7:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa kuwa asiye na baba, asiye na mama, bila ukoo, akiwa hana mwanzo wa siku+ wala mwisho wa uzima, bali akiwa amefanywa kama Mwana wa Mungu,+ anadumu akiwa kuhani daima.+ Waebrania 7:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 kwa maana alikuwa bado katika viuno+ vya babu yake wakati Melkizedeki alipokutana naye.+
4 Yehova ameapa+ (naye hatajuta):+“Wewe ni kuhani mpaka wakati usio na kipimo+Kwa mfano wa Melkizedeki!”+
20 ambamo mtangulizi ameingia kwa ajili yetu,+ Yesu, ambaye amekuwa kuhani mkuu milele kwa mfano wa Melkizedeki.+
3 Kwa kuwa asiye na baba, asiye na mama, bila ukoo, akiwa hana mwanzo wa siku+ wala mwisho wa uzima, bali akiwa amefanywa kama Mwana wa Mungu,+ anadumu akiwa kuhani daima.+