21 (kwa maana kwa kweli kuna watu ambao wamekuwa makuhani bila kiapo rasmi, lakini kuna mmoja mwenye kiapo rasmi kupitia Yule aliyesema hivi kumhusu: “Yehova ameapa+ (naye hatajuta), ‘Wewe ni kuhani milele,’ ”)+
28 kwa maana Sheria huweka rasmi kuwa makuhani wakuu+ watu walio na udhaifu,+ lakini neno la kiapo+ rasmi lililokuja baada ya Sheria humweka rasmi Mwana, ambaye amekamilishwa+ milele.