13 Naye mwenyewe atalijenga hekalu la Yehova, naye atachukua heshima;+ ataketi na kutawala juu ya kiti chake cha ufalme, naye atakuwa kuhani juu ya kiti chake cha ufalme,+ na shauri la amani+ litakuwa kati ya vyeo hivyo viwili.
3 Kwa kuwa asiye na baba, asiye na mama, bila ukoo, akiwa hana mwanzo wa siku+ wala mwisho wa uzima, bali akiwa amefanywa kama Mwana wa Mungu,+ anadumu akiwa kuhani daima.+
11 Basi, kama kwa kweli ukamilifu+ ungekuwa ni kupitia ukuhani wa Walawi,+ (kwa maana huo ukiwa sehemu kuu watu walipewa Sheria,)+ kungekuwa na uhitaji gani zaidi+ wa kuhani mwingine kusimama kwa mfano wa Melkizedeki+ na asisemwe kuwa kwa mfano wa Haruni?