Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 14:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na Melkizedeki+ mfalme wa Salemu+ akaleta mkate na divai,+ naye alikuwa kuhani wa Mungu Aliye Juu Zaidi.+

  • Zekaria 6:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Naye mwenyewe atalijenga hekalu la Yehova, naye atachukua heshima;+ ataketi na kutawala juu ya kiti chake cha ufalme, naye atakuwa kuhani juu ya kiti chake cha ufalme,+ na shauri la amani+ litakuwa kati ya vyeo hivyo viwili.

  • Waebrania 5:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kama vile anavyosema pia mahali pengine: “Wewe ni kuhani milele kwa mfano wa Melkizedeki.”+

  • Waebrania 6:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 ambamo mtangulizi ameingia kwa ajili yetu,+ Yesu, ambaye amekuwa kuhani mkuu milele kwa mfano wa Melkizedeki.+

  • Waebrania 7:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa kuwa asiye na baba, asiye na mama, bila ukoo, akiwa hana mwanzo wa siku+ wala mwisho wa uzima, bali akiwa amefanywa kama Mwana wa Mungu,+ anadumu akiwa kuhani daima.+

  • Waebrania 7:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Basi, kama kwa kweli ukamilifu+ ungekuwa ni kupitia ukuhani wa Walawi,+ (kwa maana huo ukiwa sehemu kuu watu walipewa Sheria,)+ kungekuwa na uhitaji gani zaidi+ wa kuhani mwingine kusimama kwa mfano wa Melkizedeki+ na asisemwe kuwa kwa mfano wa Haruni?

  • Waebrania 7:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 kwa maana katika kutoa ushahidi imesemwa: “Wewe ni kuhani milele kwa mfano wa Melkizedeki.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki