Yeremia 31:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 “Tazama! Siku zinakuja,” asema Yehova, “nami nitafanya agano jipya+ pamoja na nyumba ya Israeli+ na nyumba ya Yuda;+ Waebrania 8:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana ikiwa agano lile la kwanza lingekuwa bila kosa, mahali hapangetafutwa kwa ajili ya la pili;+
31 “Tazama! Siku zinakuja,” asema Yehova, “nami nitafanya agano jipya+ pamoja na nyumba ya Israeli+ na nyumba ya Yuda;+
7 Kwa maana ikiwa agano lile la kwanza lingekuwa bila kosa, mahali hapangetafutwa kwa ajili ya la pili;+