Zaburi 110:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yehova ameapa+ (naye hatajuta):+“Wewe ni kuhani mpaka wakati usio na kipimo+Kwa mfano wa Melkizedeki!”+ Waebrania 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa hiyo, ndugu watakatifu, washiriki wa mwito wa mbinguni,+ mfikirieni mtume+ na kuhani mkuu tunayemkiri+—Yesu. Waebrania 4:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Basi, kwa kuwa tuna kuhani mkuu sana ambaye amepita katika mbingu,+ Yesu Mwana wa Mungu,+ acheni tuendelee kumkiri yeye.+ Waebrania 6:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 ambamo mtangulizi ameingia kwa ajili yetu,+ Yesu, ambaye amekuwa kuhani mkuu milele kwa mfano wa Melkizedeki.+ Waebrania 8:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi kuhusu mambo yanayozungumzwa jambo kuu ni hili: Sisi tuna kuhani mkuu+ wa namna hii, naye ameketi kwenye mkono wa kuume wa kiti cha ufalme cha Ukuu mbinguni,+
4 Yehova ameapa+ (naye hatajuta):+“Wewe ni kuhani mpaka wakati usio na kipimo+Kwa mfano wa Melkizedeki!”+
3 Kwa hiyo, ndugu watakatifu, washiriki wa mwito wa mbinguni,+ mfikirieni mtume+ na kuhani mkuu tunayemkiri+—Yesu.
14 Basi, kwa kuwa tuna kuhani mkuu sana ambaye amepita katika mbingu,+ Yesu Mwana wa Mungu,+ acheni tuendelee kumkiri yeye.+
20 ambamo mtangulizi ameingia kwa ajili yetu,+ Yesu, ambaye amekuwa kuhani mkuu milele kwa mfano wa Melkizedeki.+
8 Basi kuhusu mambo yanayozungumzwa jambo kuu ni hili: Sisi tuna kuhani mkuu+ wa namna hii, naye ameketi kwenye mkono wa kuume wa kiti cha ufalme cha Ukuu mbinguni,+