Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waroma 8:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Zaidi ya hayo, wale aliowaagiza kimbele+ hao ndio aliowaita+ pia; na wale aliowaita hao ndio aliowatangaza kuwa waadilifu+ pia. Mwishowe wale aliowatangaza kuwa waadilifu hao ndio aliowatukuza pia.+

  • 1 Wakorintho 1:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Mungu ni mwaminifu,+ aliyewaita kuingia katika ushirika+ pamoja na Mwana wake Yesu Kristo Bwana wetu.

  • Wafilipi 3:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 ninafuatilia kuelekea ule mradi+ kwa ajili ya tuzo+ la mwito wa Mungu wa kwenda juu+ kwa njia ya Kristo Yesu.

  • 1 Wathesalonike 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 ili kwamba mwendelee kutembea+ kwa kumstahili Mungu anayewaita+ ninyi kwenye ufalme+ na utukufu wake.

  • 2 Timotheo 1:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Yeye alituokoa+ na kutuita kwa mwito mtakatifu,+ si kwa sababu ya matendo+ yetu, bali kwa sababu ya kusudi lake mwenyewe na fadhili zisizostahiliwa. Tulipewa hizo kuhusiana na Kristo Yesu kabla ya nyakati za zamani za kale,+

  • 2 Petro 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa sababu hiyo, akina ndugu, fanyeni hata zaidi yote mnayoweza ili kufanya mwito+ na kuchaguliwa+ kwenu kuwe hakika kwa ajili yenu wenyewe; kwa maana mkiendelea kufanya mambo hayo hamtashindwa hata kidogo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki