8Basi kuhusu mambo yanayozungumzwa jambo kuu ni hili: Sisi tuna kuhani mkuu+ wa namna hii, naye ameketi kwenye mkono wa kuume wa kiti cha ufalme cha Ukuu mbinguni,+
15 Basi ndiyo sababu yeye ni mpatanishi+ wa agano jipya, ili, kwa sababu kifo kimetokea kwa ajili ya wao kuachiliwa huru kwa fidia+ kutoka kwenye makosa chini ya lile agano la zamani,+ wale ambao wameitwa waipokee ahadi ya urithi unaodumu milele.+