13 Naye mwenyewe atalijenga hekalu la Yehova, naye atachukua heshima;+ ataketi na kutawala juu ya kiti chake cha ufalme, naye atakuwa kuhani juu ya kiti chake cha ufalme,+ na shauri la amani+ litakuwa kati ya vyeo hivyo viwili.
26 Kwa maana kuhani mkuu wa namna hiyo alitufaa sisi,+ mshikamanifu,+ asiye na hila,+ asiye na unajisi,+ aliyetengwa kutoka kwa watenda-dhambi,+ na kuwa juu zaidi kuliko mbingu.+